my playlist


Wednesday, March 30, 2011

ADAMU MCHOMVU(aka baba johniiiiii)

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
mshikaji kama kapata hasara hivi baada ya album aliyokua afanye na mexcana lacavera kufutika.mzigo alikua ameufanya pale dit fetality records.so pole sana brother pamoja nao mexcana

Tuesday, March 29, 2011

Yeeeh Man.guys karibu sana kwenye blog yenu ya kijanja zaidi.ndani ya hii blog utapata taarifa mbalimbali hila hasahasa zinazolenga kwenye buludani.ndani utaweza chart na funs mbalimbali na kubadilishana mawazo so karibuni sana milazo2 blog

Monday, March 28, 2011

BEN PAUL AKIWA KASHIKILIA TUNZO ALIYOPATA

Msanii Ben Paul ndiye aliyekua msanii pekee aliyepewa tunzo ya wimbo bora wa rnb.wimbo huo unajulikana kwa jina ambalo ni nikikupata.so mshikaji kama alijua hivi kwamba endendapo akipata tunzo utakua ndo mpango mzima wa mafanikio kwake ndo maana akaimba nikikupata.

MILAD AYO AKIWA NA VJ PENNY

Hawa ndo walikua ma mc kwenye tuzo za kill 2011
»

Marya Feat Avril – Chokoza

Camp Mulla – Digital Love (GetMziki Futures ****)